Maneno ya Diva aliyoandika haya hapa:
"Just
Saying… maana hawa hawa wanaozunguka wenzao na kujifanya wanajali ndio
wanafiki na wambea hatari. nashukuru Mungu sinaga rafiki hata wakumpa
siri zangu maana …… na kiukweli mtu akisema mie rafiki yake
anajidanganya. mie huwa nachora tu watu hata sometimes nikiwa naongea
nao, very selective. na Mpaka dakika hii miaka 4 sasa sinaga so called
rafiki kibongobongo. no new friends. i ‘m always into My highschool
buddies yaani. so know your Options and make the right choice"


No comments:
Post a Comment