Wakati wa Sherehe za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar tarehe 26
Aprili 1964, Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Rais wa
Zanzibar Abeid Amaan Karume ambao sasa wote ni Marehemu, walipanda
katika shimo moja Miembe miwili mmoja kutoka Zanzibar na mwingine kutoka
Tanganyika. Miembe hiyo imekuwa na kustawi pamoja na kufanya shina moja
‘through grafting’. Mti huo wa mwembe umestawi vyema katika
bustani ya Ikulu, Dar es Salaam, kama unavyoonekana Aprili 26, 2014
ambayo ni Siku ya miaka 50 ya Muungano.
Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...
-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Josephine is passionate, dedicated, reliable, responsible, and hardworking. Team worker and able to face all challenging situations. Can ...
No comments:
Post a Comment