SIWEMA Ajibu Mapigo Amuonyesha Serengeti Boy aliyefumaniwa Naye..Ni Baada ya Nay wa Mitego Kuanza Kuishi na Shamsa Ford
Inasemekana mapenzi na Kijana huyo hayakuanza jana wala leo ili yapo muda mrefu ila walikuw wakifanya kwa siri mpaka siku Nay wa mitego alipofumania mchezo na kuamua kuchukua mtoto wake na Kusema...
Kijana huyu ambae anaonekana ni mdogo watu wengi wa huko mwanza wamempa jina la kiserengeti boy..Kwa sasa anaonekana kila kona akiongozana na Siwema bila kificho kama zamani..
Siwema Akiwa na Serengeti Boy na Rafiki yao |
No comments:
Post a Comment