16 November, 2023

USHOGA SASA RUKSA!!

Watu waliobadili jinsia wanaweza kuwa wazazi wa ubatizo katika Kanisa Katoliki, mashahidi katika harusi za kidini na kubatizwa. 

Wakati huo huo papa Francis amemfuta kazi askofu Joseph Strickland, ambae ni mkosoaji mkubwa alieibua maswali juu ya uongozi wa papa katika Kanisa Katoliki.

Askofu Srickland ni mmoja kati ya sauti kinara katika tawi la uongozi wa Kanisa Katoliki nchini Marekani ambalo linapinga vikali mabadiliko yanayopigiwa chapuo na papa Francis.

Kuondolewa kwakwe kunakuja baada ya papa kuzungumzia juu ya hali ya kuwa nyuma kifikra.



Chanzo: BBC News Swahili

15 November, 2023

JoJo The Fighter: JOJO THE FIGHTER BIOGRAPHY

JoJo The Fighter: JOJO THE FIGHTER BIOGRAPHY:    Josephine is passionate, dedicated, reliable, responsible, and hardworking. Team worker and able to face all challenging situations. Can ...

14 November, 2023

LADY JAYDEE AMLETEA ZAWADI MTALAKA WAKE

 

Staa wa Bongofleva, Lady Jaydee amemletea zawadi ya perfume mtalaka wake, Gardner G Habash ambaye ni Mtangazaji wa Clouds FM. 

 

Utakumbuka Lady Jaydee na Gardner walifunga ndoa Mei 2005 na kuachana rasmi kwa talaka Desemba 2016, ikiwa ni miaka 10 ya ndoa.

 

Je, wewe unaweza kumpa zawadi mtalaka au ex wako?.


SINA MUME, SINA MCHUMBA

 


⚠️😳 "Mume sina na mchumba sina, labda wananiogopa maana hatokei mtu wa kuniambia ananipenda nahisi wananiogopa, sijaolewa na mtu akija why not?"

 "Nataka kubadili dini nitoke kwenye ukristo niwe muislam, na sitabadili kwasababu ya mwanaume, ni mimi mwenyewe nimeamua kwasababu napenda mambo ya kiislamu"

 Aidha amesema "kufua sijui na hii itakuwa ngumu kidogo kwangu kwasababu dada yupo ananifulia, lakini pia kuna mashine za kufulia ila kupika niko vizuri kiasi" - amesema  Madame Rita

 Hata hivyo, Madame Rita amesema kipindi cha nyuma alishawahi kuwa katika mahusiano pia ana mtoto mmoja ila kwasasa ndio hayupo katika mahusiano na akitokea mtu wakapendana na kutaka kufunga ndoa hana hiana kufanya hivyo


PAPA FRANCIS NA NDOA ZA JINSIA MOJA

th

"Kuwa mpenzi wa jinsia moja  si kosa," Francis alisema wakati wa mahojiano Jumanne na The Associated Press.

Francis alikiri kwamba maaskofu wa Kikatoliki katika baadhi ya sehemu za dunia wanaunga mkono sheria zinazoharamisha mapenzi ya jinsia moja au kubagua jamii ya LGBTQ, na yeye mwenyewe alitaja suala hilo kwa maneno ya "dhambi".

Ingawa Francis alikosoa kuharamishwa kwa mapenzi ya jinsia moja, aliweka wazi kuwa anaamini kuwa vitendo vya mapenzi ya jinsia moja ni dhambi. "Hebu tutofautishe kati ya dhambi na uhalifu," Papa alisema.


Chanzo: BBC

NAFANYA MAANDAMANO KUANZIA AIRPORT

 


Msanii wa Muziki kutoka Tanzania, Harmonize ambaye kwasasa yupo USA ameweka wazi kuwa ataanya paledi (Maandamano) kuanzia Airport mpaka konde Village,

 

"Tangu muziki wetu au niseme SANAA yetu ianze, SIKUMBUKI lini mara ya mwisho msanii kutoka Tanzania kulipatia hili Taifa la mama samia tuzo Tatu (3) za kimataifa ndani ya usiku mmoilja.! Moja au mbili, Nakumbuka ila Tatu sina kumbukumbu kwahiyo paledi litaanzia airport mpaka KONDE VILLAGE alafu tunakesha mpaka asubuhi, soon nawarudia na Tarehe pamoja na saa ninayotua ...! KONDE GANG MUDA WENU WA KUTAMBA.." ameandika Harmonize

 

 


13 November, 2023

JOJO THE FIGHTER'S CURRENT MOOD

 NEVER TRY TO DEFEAT THE UN DEFEATABLE. Its like to wound what you cannot kill. You shall definitely face the consequences. Its high time now to let the devil face what he deserves!









30 October, 2023

MAMA DIAMOND "DIAMOND PLATNUMZ ANA ASILI YA CONGO"

 

Ni watu wachache sana ambao wanaweza kukaa na siri moyoni mwao kama mama Dangote.

Hakuna aliyejua kuwa Diamond baba yake ni Mkongo kabla ya yeye kuthibitisha hilo siku kadhaa zilizopita.

Diamond mwenyewe alijua baba yake ni Marehemu mzee Nyange kumbe alikuwa anadanganywa tu.

Kwa hili hakuna wa kumbishia maana siri ya baba wa mtoto ajuae ni mama.

 

Japo hakumtaja wazi kwa jina lakini inadaiwa Diamond baba yake alikuwa kaka yake na PAPA WEMBA ambaye kwa sasa ni marehemu. 

 

Mama dangote amelitunza hili kwa takribani miaka 30, Je! ikiwa kuna ukweli huyu mama tumuite??


24 October, 2023

DIAMOND KASINGIZIWA MTOTO ALIE ZAA NA HAMISA??

 



Wiki hii Mwanamuziki Diamond Platnumz aliwachukua watoto wake Latiffah na Nillan ambao wanaishi kule Afrika Kusini kisha akawaleta Dar es salaam nyumbani kwake wakaungana na Naseeb Junior mtoto wa Diamond Platnumz na Tanasha. Watoto hao watatu wameonekana wakiponda raha za dunia, huku Diamond Platnumz na mama Dangote wakitia maneno ya hapa na pale kuonyesha jinsi wanavyowafurahia watoto hao.

 Hali hiyo imewakwaza mashabiki wanaomfatilia Diamond Platnumz ambapo kulingana na posti aliyoiposti mama Dangote, wengi wao wameonyesha kutamani kama Diamond angemchukua mtoto wa Hamissa Mobetto Dylan, ajumuike na watoto wenzake, lakini inaonekana wamemtenga na hawataki kusikia hata harufu yake.

 

Uzuri ni kwamba watu wengi wanachukizwa na hiki anachokifanya Diamond na wanamuombea mtoto wa Hamissa Mobetto ajaaliwe baraka na Mungu ili baadae Diamond aje kujutia anachomfanyia mtoto huyo, ingawa hakuna anayejua yanayoendelea nyuma ya Pazia.

19 October, 2023

AKOSA ZAWADI YA GARI BAADA YA KUMTAJA MWANAUME TOFAUTI NA ALIYEMLETEA GARI HIYO AMBAYO ILIKUJA KAMA SUPRISE


Mwanadada huyo pichani kwa jina la Irene amejikuta akikosa zawadi ya gari Harrier new model (la thamani ya zaidi ya milioni 30) alilonunuliwa na mpenzi wake ambaye kabla ya kukabidhiwa ufunguo kupitia watu aliowatuma jamaa alimpa sharti amtaje jina kwanza ili ajue kama yuko peke yake. Matokeo yake mrembo huyo aliishia kujimumunya karibu dakika 10 asijue ni Mwanaume gani  amemtunuku zawadi hiyo kati ya mnyororo wa wanaume alionao na mwishowe alimtaja Mwanaume tofauti na aliyemletea zawadi hiyo.

 

Baada ya jamaa husika kupigiwa simu ili kujua jina alililotajwa kama ndo jina lake, Matokeo yake baada ya binti huyo kusikia sauti aliyoitaja siyo ya Mwanaume aliyekuwa amepigiwa, kwa aibu alikata simu akachukua virago vyake akatokomea kusikojulikana kuendelea na sherehe za graduation ya kuhitimu masomo ya chuo  kikuu cha Dar es salaam.

 

Katika mahojiano na Times Fm radio moja ya vijana walioshiriki kupeleka gari hilo amesema baada ya Irene kuondoka walimpigia simu jamaa na kumueleza akasema yeye haitwi BEN na hivyo akaagiza gari yake irudishwe. 

 

Katika mahojiano na leo tena ya Clouds Irene amejaribu kujitetea kwamba BEN alomtaja ni baba yake mzazi utetezi unaoonekana ni uongo mtupu inawezekanaje umtaje baba yako kama Boyfriend wako! 

 

Udangaji noma mabinti acheni tamaa

 

Wazoefu wa hizi kazi tunasema hii imeenda 😂

 

Endelea kutufuatilia....

08 June, 2023

NI ZAIDI YA AKIBA - I&M BANK

 To all viewers and friends of JoJoTheFighter 


Please find the column below for your savings option.

This offer will end after 3 months.....

Save Little.... Get More......

Its more than Saving!!!

Please let me know if I can provide any further information >>> jojothefighter@gmail.com <<<



25 May, 2023

JOJO THE FIGHTER BIOGRAPHY

  
Josephine is passionate, dedicated, reliable, responsible, and hardworking. Team worker and able to face all challenging situations. Can work well in a team environment as well and own initiatives. Ability to work well under pressure and adhere to tight deadlines, with more than 9 years of banking experience; where her last employer was NMB Bank PLC. Joined I&M Bank In May 2022 as a Customer Service Officer, In March 2023  was promoted to the Bank's Alternative Channels Department. In August 2023 the department was separated and now serves as Digital Operations Department. She holds a Bachelor of Arts in Mass Communication from Tumaini University (2008-2011) Josephine is a happy wife, being proudly mother of two children. She also deals with other things like MC, film productions as producer and actress.


                                                 

Josephine ni mwenye shauku, anayejitolea, anayetegemewa, anayewajibika, na mchapakazi. Mfanyikazi wa timu na anayeweza kukabiliana na hali zote zenye changamoto. Anaeweza kufanya kazi vizuri katika mazingira ya timu na kumiliki mipango. Uwezo wa kufanya kazi vizuri chini ya shinikizo na kuzingatia muda uliowekwa, ana uzoefu wa benki kwa zaidi ya miaka 9; ambapo mwajiri wake wa mwisho alikuwa NMB Bank PLC. Alijiunga na Benki ya I&M Mnamo Mei 2022 kama Afisa wa Huduma kwa Wateja, Mnamo Machi 2023 alipandishwa cheo hadi Idara ya Njia Mbadala ya Benki. Mnamo Agosti 2023 idara hiyo ilitenganishwa na sasa inatumika kama Idara ya Uendeshaji wa Kidijitali. Ana Shahada ya Sanaa katika Mawasiliano  kutoka Chuo Kikuu cha Tumaini (2008-2011) Josephine ni mke mwenye furaha, anajivunia kuwa mama wa watoto wawili. Pia anashughulika na mambo mengine kama vile u - MC, utayarishaji wa filamu kama mtayarishaji na mwigizaji.



24 May, 2023

ELLGATE GROUP FOR YOUR DESIRED & SAFE TRIP

 


Greetings From Ellgate Group,

 We are so excited to introduce you to our company, we know that planning the perfect vacation or business trip means having all the right information, Ellgate Group is here to help you out with that, we can give you everything you need to know to plan your trip either be it International or Domestic.

The services that we provide Include

  • Corporate Travel Management
  • Visa & Passport Assistance
  • Hotel Bookings
  • Safari & Leisure Travel
  • Airport Transfers
  • Meet, Greet & Assist
  • Travel Insurance
  • Medical insurance
  • Car Hire- Self Driven / Chauffer Driven
  • 24*7 On Call Emergency Assistance
  • Travel packages, and so much more.

We can even arrange the details according to the specifics you need, all you have to do is get in touch with us either by email at ellgategroup@gmail.com Or call us  at +255 687 451 171,  +255 715 121 069, let us help you plan for an ultimate getaway to that  Business Meeting , Conference  or Desired  Holiday Destination.

09 May, 2023

Senior Management - At I&M Bank Tanzania

 Zahid Mustafa

Zahid Mustafa

Chief Executive Officer (C.E.O)

Donald Aswani Mate

Donald Aswani Mate

Chief Operating Officer

Lilian Kidee Mtali

Lilian Kidee Mtali

Head of Consumer Banking

Patrick Kapella

Patrick Kapella

Head of Treasury

Emmanuel Wilson Mosha

Emmanuel Wilson Mosha

Head of Credit

Alan Mbangula

Alan Mbangula

Head of Information Communication & Technology

Aimtonga Adolph

Aimtonga Adolph

Head of Internal Audit

Ms. Erica W. Mboya

Ms. Erica W. Mboya

Head of Human Resources

Ms. Veronica Magongo

Ms. Veronica Magongo

Head of Finance

Krishnan Ramachandran

Krishnan Ramachandran

Head of Corporate Banking


KUTANA NA DIRECTORS WA I&M BANK TANZANIA

 Mr. Sarit S. Raja Shah

Mr. Sarit S. Raja Shah

Board Chairman

Mr. Michael N. Shirima

Mr. Michael N. Shirima

Director

Mr. Shameer Patel

Mr. Shameer Patel

Director

Mr. Pratul H. D. Shah

Mr. Pratul H. D. Shah

Director

Mr. Thierry Hugnin

Mr. Thierry Hugnin

Director

Mr. Alan Mchaki

Mr. Alan Mchaki

Director

Emmanuel Johannes

Emmanuel Johannes

Director

08 May, 2023

I &M Bank Tanzania CEO, Mr. Zahid Mustafa, wins the ‘Most Inspiring Retail Banker of the Year’ award during 10th Africa Bank 4.0 Pan-Africa Summit in Nairobi.

 I&M Bank Tanzania CEO, Mr. Zahid Mustafa, wins the ‘Most Inspiring Retail Banker of the Year’ award during 10th Africa Bank 4.0 Pan-Africa Summit in Nairobi.

I&M Bank Tanzania CEO, Mr. Zahid Mustafa wins the ‘Most Inspiring Retail Banker of the Year’ award during 10th Africa Bank 4.0 Pan-Africa Summit in Nairobi. 

I&M Bank Ltd Tanzania is proud to announce that our Chief Executive Officer, Mr. Zahid Mustafa, won the ‘Most Inspiring Retail Banker of the Year’ award during 10th Africa Bank 4.0 Pan-Africa Summit in Nairobi.

Mr. Mustafa was part of the ‘CEO Inspirational’ panel on Strategic Adaption of Bank Readiness for the Future where Mustafa provided valuable insights based on his extensive experience in the banking industry.

The summit featured prominent industry leaders from across the continent, including Rose Muturi (CEO of Branch Microfinance Bank), Raphael Lekolool (FCCA, CPA) (Managing Director of Postbank Kenya), and Fabian Kasi (Managing Director of Centenary Bank).

HII NDIO THE MAKING YA HASSAN MBANGWA HOT ZAIDI

 
JoJoTheFighter & Hassan Mbangwa katika picha ya pose

Miongoni mwa ma director wa video wanaoheshimika kwa kazi nzuri nchini Tanzania na nje ya mipaka ya Tanzania huwezi kuacha kutaja jina la Hassan Mbangwa!

Amesha fanya video nyingi hasa za Gospel zikiwemo Dunia Haina Huruma ya Bahati Bukuku, Fanya Njia ya Flora Mbasha, Ombi langu kwa Mungu ya Martha Mwaipaja, Mungu anacheka ya Rose Muhando na nyingine nyingi....


Tizama the making ya muimbaji wa Gospel Mary Ruhasha, jinsi ambavyo Hassan Mbangwa akitoa maelekezo ya kina kwa muimbaji huyo na kufanikisha video matata na ya aina ya kipekee kabisa!...












29 August, 2016

MBOWE ABAKI NA SAA 24 ZA KUIOKOA BILICANAS

KAMPUNI ya Mbowe Hotels Limited (MHL) imebakiwa na siku ya leo tu, kuwa tayari imelipa deni la Sh bilioni 1.3 ya kodi, ambalo inadaiwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) ili  kujinasua katika hatari ya kuondolewa katika jengo la shirika hilo, lililopo katika makutano ya mitaa ya Mkwepu na Indira Gandhi (Makunganya) jijini Dar es Salaam.

Jengo hilo ni maarufu kutokana na kuendesha shughuli mbalimbali za starehe na burudani kutokana na kuwepo kwa Club maarufu ya Billicanas.Billicanas.

Hatua hiyo inatokana na notisi mbili zilizotolewa; moja na Shirika la Nyumba la Taifa Juni 24, mwaka huu, ikitishia kuvunja makubaliano a mkataba wa ukodishaji wa jengo hilo, na kufuatiwa na notisi ya Kampuni ya Udalali wa Mahakama ya Fosters, ambazo zote zinamalizika muda wake leo.

Mbowe alinukuliwa na baadhi ya vyombo vya habari mwishoni mwa wiki, akilihusisha deni hilo na masuala ya kisiasa, kwa madai kuwa suala hilo linakuzwa na kupotoshwa ili kumnyamazisha katika harakati za kisiasa, bila kukiri uwepo wa shauri baina ya pande hizo mbili juu ya deni hilo.

Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemiah Mchechu, alithibitisha kuwepo kwa mpango wa kuiondoa kwa nguvu kampuni ya Mbowe katika jengo hilo,

Jiunge nami 


 Insta@jojothefighter,

fb@josephinejoseph 

twitter@jojothefighter

 

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...