30 October, 2023

MAMA DIAMOND "DIAMOND PLATNUMZ ANA ASILI YA CONGO"

 

Ni watu wachache sana ambao wanaweza kukaa na siri moyoni mwao kama mama Dangote.

Hakuna aliyejua kuwa Diamond baba yake ni Mkongo kabla ya yeye kuthibitisha hilo siku kadhaa zilizopita.

Diamond mwenyewe alijua baba yake ni Marehemu mzee Nyange kumbe alikuwa anadanganywa tu.

Kwa hili hakuna wa kumbishia maana siri ya baba wa mtoto ajuae ni mama.

 

Japo hakumtaja wazi kwa jina lakini inadaiwa Diamond baba yake alikuwa kaka yake na PAPA WEMBA ambaye kwa sasa ni marehemu. 

 

Mama dangote amelitunza hili kwa takribani miaka 30, Je! ikiwa kuna ukweli huyu mama tumuite??


24 October, 2023

DIAMOND KASINGIZIWA MTOTO ALIE ZAA NA HAMISA??

 



Wiki hii Mwanamuziki Diamond Platnumz aliwachukua watoto wake Latiffah na Nillan ambao wanaishi kule Afrika Kusini kisha akawaleta Dar es salaam nyumbani kwake wakaungana na Naseeb Junior mtoto wa Diamond Platnumz na Tanasha. Watoto hao watatu wameonekana wakiponda raha za dunia, huku Diamond Platnumz na mama Dangote wakitia maneno ya hapa na pale kuonyesha jinsi wanavyowafurahia watoto hao.

 Hali hiyo imewakwaza mashabiki wanaomfatilia Diamond Platnumz ambapo kulingana na posti aliyoiposti mama Dangote, wengi wao wameonyesha kutamani kama Diamond angemchukua mtoto wa Hamissa Mobetto Dylan, ajumuike na watoto wenzake, lakini inaonekana wamemtenga na hawataki kusikia hata harufu yake.

 

Uzuri ni kwamba watu wengi wanachukizwa na hiki anachokifanya Diamond na wanamuombea mtoto wa Hamissa Mobetto ajaaliwe baraka na Mungu ili baadae Diamond aje kujutia anachomfanyia mtoto huyo, ingawa hakuna anayejua yanayoendelea nyuma ya Pazia.

19 October, 2023

AKOSA ZAWADI YA GARI BAADA YA KUMTAJA MWANAUME TOFAUTI NA ALIYEMLETEA GARI HIYO AMBAYO ILIKUJA KAMA SUPRISE


Mwanadada huyo pichani kwa jina la Irene amejikuta akikosa zawadi ya gari Harrier new model (la thamani ya zaidi ya milioni 30) alilonunuliwa na mpenzi wake ambaye kabla ya kukabidhiwa ufunguo kupitia watu aliowatuma jamaa alimpa sharti amtaje jina kwanza ili ajue kama yuko peke yake. Matokeo yake mrembo huyo aliishia kujimumunya karibu dakika 10 asijue ni Mwanaume gani  amemtunuku zawadi hiyo kati ya mnyororo wa wanaume alionao na mwishowe alimtaja Mwanaume tofauti na aliyemletea zawadi hiyo.

 

Baada ya jamaa husika kupigiwa simu ili kujua jina alililotajwa kama ndo jina lake, Matokeo yake baada ya binti huyo kusikia sauti aliyoitaja siyo ya Mwanaume aliyekuwa amepigiwa, kwa aibu alikata simu akachukua virago vyake akatokomea kusikojulikana kuendelea na sherehe za graduation ya kuhitimu masomo ya chuo  kikuu cha Dar es salaam.

 

Katika mahojiano na Times Fm radio moja ya vijana walioshiriki kupeleka gari hilo amesema baada ya Irene kuondoka walimpigia simu jamaa na kumueleza akasema yeye haitwi BEN na hivyo akaagiza gari yake irudishwe. 

 

Katika mahojiano na leo tena ya Clouds Irene amejaribu kujitetea kwamba BEN alomtaja ni baba yake mzazi utetezi unaoonekana ni uongo mtupu inawezekanaje umtaje baba yako kama Boyfriend wako! 

 

Udangaji noma mabinti acheni tamaa

 

Wazoefu wa hizi kazi tunasema hii imeenda 😂

 

Endelea kutufuatilia....

08 June, 2023

NI ZAIDI YA AKIBA - I&M BANK

 To all viewers and friends of JoJoTheFighter 


Please find the column below for your savings option.

This offer will end after 3 months.....

Save Little.... Get More......

Its more than Saving!!!

Please let me know if I can provide any further information >>> jojothefighter@gmail.com <<<



25 May, 2023

JOJO THE FIGHTER BIOGRAPHY

  
Josephine is passionate, dedicated, reliable, responsible, and hardworking. Team worker and able to face all challenging situations. Can work well in a team environment as well and own initiatives. Ability to work well under pressure and adhere to tight deadlines, with more than 9 years of banking experience; where her last employer was NMB Bank PLC. Joined I&M Bank In May 2022 as a Customer Service Officer, In March 2023  was promoted to the Bank's Alternative Channels Department. In August 2023 the department was separated and now serves as Digital Operations Department. She holds a Bachelor of Arts in Mass Communication from Tumaini University (2008-2011) Josephine is a happy wife, being proudly mother of two children. She also deals with other things like MC, film productions as producer and actress.


                                                 

Josephine ni mwenye shauku, anayejitolea, anayetegemewa, anayewajibika, na mchapakazi. Mfanyikazi wa timu na anayeweza kukabiliana na hali zote zenye changamoto. Anaeweza kufanya kazi vizuri katika mazingira ya timu na kumiliki mipango. Uwezo wa kufanya kazi vizuri chini ya shinikizo na kuzingatia muda uliowekwa, ana uzoefu wa benki kwa zaidi ya miaka 9; ambapo mwajiri wake wa mwisho alikuwa NMB Bank PLC. Alijiunga na Benki ya I&M Mnamo Mei 2022 kama Afisa wa Huduma kwa Wateja, Mnamo Machi 2023 alipandishwa cheo hadi Idara ya Njia Mbadala ya Benki. Mnamo Agosti 2023 idara hiyo ilitenganishwa na sasa inatumika kama Idara ya Uendeshaji wa Kidijitali. Ana Shahada ya Sanaa katika Mawasiliano  kutoka Chuo Kikuu cha Tumaini (2008-2011) Josephine ni mke mwenye furaha, anajivunia kuwa mama wa watoto wawili. Pia anashughulika na mambo mengine kama vile u - MC, utayarishaji wa filamu kama mtayarishaji na mwigizaji.



24 May, 2023

ELLGATE GROUP FOR YOUR DESIRED & SAFE TRIP

 


Greetings From Ellgate Group,

 We are so excited to introduce you to our company, we know that planning the perfect vacation or business trip means having all the right information, Ellgate Group is here to help you out with that, we can give you everything you need to know to plan your trip either be it International or Domestic.

The services that we provide Include

  • Corporate Travel Management
  • Visa & Passport Assistance
  • Hotel Bookings
  • Safari & Leisure Travel
  • Airport Transfers
  • Meet, Greet & Assist
  • Travel Insurance
  • Medical insurance
  • Car Hire- Self Driven / Chauffer Driven
  • 24*7 On Call Emergency Assistance
  • Travel packages, and so much more.

We can even arrange the details according to the specifics you need, all you have to do is get in touch with us either by email at ellgategroup@gmail.com Or call us  at +255 687 451 171,  +255 715 121 069, let us help you plan for an ultimate getaway to that  Business Meeting , Conference  or Desired  Holiday Destination.

09 May, 2023

Senior Management - At I&M Bank Tanzania

 Zahid Mustafa

Zahid Mustafa

Chief Executive Officer (C.E.O)

Donald Aswani Mate

Donald Aswani Mate

Chief Operating Officer

Lilian Kidee Mtali

Lilian Kidee Mtali

Head of Consumer Banking

Patrick Kapella

Patrick Kapella

Head of Treasury

Emmanuel Wilson Mosha

Emmanuel Wilson Mosha

Head of Credit

Alan Mbangula

Alan Mbangula

Head of Information Communication & Technology

Aimtonga Adolph

Aimtonga Adolph

Head of Internal Audit

Ms. Erica W. Mboya

Ms. Erica W. Mboya

Head of Human Resources

Ms. Veronica Magongo

Ms. Veronica Magongo

Head of Finance

Krishnan Ramachandran

Krishnan Ramachandran

Head of Corporate Banking


KUTANA NA DIRECTORS WA I&M BANK TANZANIA

 Mr. Sarit S. Raja Shah

Mr. Sarit S. Raja Shah

Board Chairman

Mr. Michael N. Shirima

Mr. Michael N. Shirima

Director

Mr. Shameer Patel

Mr. Shameer Patel

Director

Mr. Pratul H. D. Shah

Mr. Pratul H. D. Shah

Director

Mr. Thierry Hugnin

Mr. Thierry Hugnin

Director

Mr. Alan Mchaki

Mr. Alan Mchaki

Director

Emmanuel Johannes

Emmanuel Johannes

Director

08 May, 2023

I &M Bank Tanzania CEO, Mr. Zahid Mustafa, wins the ‘Most Inspiring Retail Banker of the Year’ award during 10th Africa Bank 4.0 Pan-Africa Summit in Nairobi.

 I&M Bank Tanzania CEO, Mr. Zahid Mustafa, wins the ‘Most Inspiring Retail Banker of the Year’ award during 10th Africa Bank 4.0 Pan-Africa Summit in Nairobi.

I&M Bank Tanzania CEO, Mr. Zahid Mustafa wins the ‘Most Inspiring Retail Banker of the Year’ award during 10th Africa Bank 4.0 Pan-Africa Summit in Nairobi. 

I&M Bank Ltd Tanzania is proud to announce that our Chief Executive Officer, Mr. Zahid Mustafa, won the ‘Most Inspiring Retail Banker of the Year’ award during 10th Africa Bank 4.0 Pan-Africa Summit in Nairobi.

Mr. Mustafa was part of the ‘CEO Inspirational’ panel on Strategic Adaption of Bank Readiness for the Future where Mustafa provided valuable insights based on his extensive experience in the banking industry.

The summit featured prominent industry leaders from across the continent, including Rose Muturi (CEO of Branch Microfinance Bank), Raphael Lekolool (FCCA, CPA) (Managing Director of Postbank Kenya), and Fabian Kasi (Managing Director of Centenary Bank).

HII NDIO THE MAKING YA HASSAN MBANGWA HOT ZAIDI

 
JoJoTheFighter & Hassan Mbangwa katika picha ya pose

Miongoni mwa ma director wa video wanaoheshimika kwa kazi nzuri nchini Tanzania na nje ya mipaka ya Tanzania huwezi kuacha kutaja jina la Hassan Mbangwa!

Amesha fanya video nyingi hasa za Gospel zikiwemo Dunia Haina Huruma ya Bahati Bukuku, Fanya Njia ya Flora Mbasha, Ombi langu kwa Mungu ya Martha Mwaipaja, Mungu anacheka ya Rose Muhando na nyingine nyingi....


Tizama the making ya muimbaji wa Gospel Mary Ruhasha, jinsi ambavyo Hassan Mbangwa akitoa maelekezo ya kina kwa muimbaji huyo na kufanikisha video matata na ya aina ya kipekee kabisa!...












29 August, 2016

MBOWE ABAKI NA SAA 24 ZA KUIOKOA BILICANAS

KAMPUNI ya Mbowe Hotels Limited (MHL) imebakiwa na siku ya leo tu, kuwa tayari imelipa deni la Sh bilioni 1.3 ya kodi, ambalo inadaiwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) ili  kujinasua katika hatari ya kuondolewa katika jengo la shirika hilo, lililopo katika makutano ya mitaa ya Mkwepu na Indira Gandhi (Makunganya) jijini Dar es Salaam.

Jengo hilo ni maarufu kutokana na kuendesha shughuli mbalimbali za starehe na burudani kutokana na kuwepo kwa Club maarufu ya Billicanas.Billicanas.

Hatua hiyo inatokana na notisi mbili zilizotolewa; moja na Shirika la Nyumba la Taifa Juni 24, mwaka huu, ikitishia kuvunja makubaliano a mkataba wa ukodishaji wa jengo hilo, na kufuatiwa na notisi ya Kampuni ya Udalali wa Mahakama ya Fosters, ambazo zote zinamalizika muda wake leo.

Mbowe alinukuliwa na baadhi ya vyombo vya habari mwishoni mwa wiki, akilihusisha deni hilo na masuala ya kisiasa, kwa madai kuwa suala hilo linakuzwa na kupotoshwa ili kumnyamazisha katika harakati za kisiasa, bila kukiri uwepo wa shauri baina ya pande hizo mbili juu ya deni hilo.

Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemiah Mchechu, alithibitisha kuwepo kwa mpango wa kuiondoa kwa nguvu kampuni ya Mbowe katika jengo hilo,

Jiunge nami 


 Insta@jojothefighter,

fb@josephinejoseph 

twitter@jojothefighter

 

26 August, 2016

BEST MEMORY TO REMEBER WITH MANAGING DIRECTOR OF NMB




MUONEKANO MPYA WA JOJOTHEFIGHTER

KUTANA NA MWANAMKE ALIYEZAA WATOTO WANNE KWA MPIGO!!

DEVOTHA MFOI (KATIKATI) PAMOJA NA JOJO NA MUME WA DEVOTHA KUSHOTO


Like
Devotha Amezaliwa mwaka 1987, ni mchaga na makazi yake yapo Mailisita; Yeye pamoja na mume wake wamebarikiwa kupata mapacha wakike wanne kwa mpigo. Hali ya mama inaendelea vizuri pamoja na watoto. Huu ni uzao wake wa pili; Katika uzao wa kwanza Devotha na mume wake wamejaliwa mtoto wa kiume.

Kwa sasa bado Devotha yupo KCMC gorofa ya 3 chumba namba 21. Kwa yeyote aliyeguswa, usisite kumtembelea na kumpa msaada kwasababu yeye pamoja na mume wake wanaishi maisha ya kawaida na kumudu kutunza watoto wanne ni gharama kubwa.

24 August, 2016

HII NDIO TAARIFA YA POLISI KUHUSU WANAOJIHUSISHA NA UKUTA


Licha ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kutangaza kufanya maandamano ya nchi nzima Septembe 1 2016, Jeshi la Polisi kanda maalum Dar es salaam limemkamata mtu mmoja anayejulikana kwa jina la Yoram Mbyellah kwa kupatikana na kuuza sare aina ya fulana zenye maneno yanayodaiwa kuwa ni yakichochezi zikiwa na alama ya CHADEMA huku nyingine zikiwa na maneno ‘UKUTA’
Kamanda wa Polisi kanda maalum ya Dar es salaam Simon Sirro amesema…>>>’August 20 2016 Jeshi la Polisi lilipata taarifa toka kwa raia wema kuwa maeneo ya Kinondoni kuna duka linauza flana zenye maneno ya uchochezi yaliyoandikwa ‘’TUJIPANGE TUKATAE UDIKITETA UCHWARA’’ , ‘UKUTA’
Aidha Polisi baada ya kupata taarifa hizo walifika eneo la tukio na kumkamata mtuhumiwa aitwaye YORAM SETHY MBYELLAH miaka 42, mfanyabiashara na mkazi wa Mburahati akiwa anauza fulana hizo dukani kwake‘ –Kamanda Sirro
Ili tuishi kwa amani ni lazima tutii sheria na kama hutaki kutii sheria tutashughulika naye, Kama kuna mtu anataka kuvunja amani katika mkoa wetu ajue kabisa hatoweza na niseme tu kwamba kama wanataka kujenga ukuta wajenge ukuta mwingine maana huu umeshadondoka‘ –Kamanda Sirro
Na wapo watu wanasema kwanini tunafanya mazoezi, nikwamba Jeshi la Polisi ni kawaida kufanya hivyo na muhimu watu wajue hiyo September 1 hakutakuwa na maandamano ya aina yoyote kwahiyo watu wasiwe na hofu bali wachape kazi‘ –Kamanda Sirro

UKWELI KUHUSU UVAMIZI WA BANK CRDB MBANDE

image.jpeg

WALIOFARIKI NI
E5761 CPL YAHAYA
F4660 CPL HATIBU NA
G9544 PC TTITO.

Inasemekana SMG moja wameondoka nayo majambazi.

Tukio hili limetokea wakati askari wakibadilishana lindo. Mmoja aliyefariki alikuwa anaingia, mmoja alikuwa anatoka na mwingine alikuwa dereva.

Majambazi hayakuingia ndani ya bank.

Gari la Polisi (Leyland Ashok) limeharibiwa sana kwa risasi.


Mmoja wa majeruhi ni mfanyabiashara wa upande wa pili wa tawi la benki yalikotokea mauaji.

Waziri awatembelea majeruhi na kusema wanaendelea vizuri.

IMG_20160824_054348.png

======================

Taarifa ya Kamanda Sirro kwa mujibu wa Gazeti la Mwananchi

Jeshi la Polisi limethibitisha kuwa jumla ya askari wake wanne wameuawa usiku wa kuamkia leo baada ya majambazi kuvamia tawi la benki ya CRDB lililopo Mbande, wilayani Temeke, Dar es Salaam.

Akizungumza moja kwa moja kupitia kituo cha Redio One Stereo leo asubuhi, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Simon Sirro, amesema watu kadhaa wamekatawa na msako unaendelea ili kuwapata waliotekeleza unyama huo.

Sirro amesema taarifa kutoka eneo la tukio zinaonesha kuwa majambazi hao walikuwa 14 na baada ya kufanya mauaji hao, walivamia kituo cha polisi cha Mbande kisha wakavunja stoo na kuchukua sare ya askari na silaha.

Akielezea namna tukio hilo lilivyotokea, Kamanda Sirro amesema wahalifu hao walitumia mwanya wakati askari wakibadilishana lindo katika taasisi hiyo ya fedha na kuibuka ghafla na kuanza kurusha risasi.

Kwa mujibu wa Sirro, gari la polisi limechakazwa kwa risasi na askari mmoja aliyekuwa lindo alifanikiwa kukimbia na ndiye aliyeweza kutoa taarifa na maelezo ya namna tukio lilivyofanyika.

“Watu kadhaa wamekamatwa na tunaendelea na msako. Tunawataka wakiwa hai au wafu,” amesema Kamanda Sirro huku akiwataka watu kujihadhari na yeyote anayejitambulisha kwao kuwa ni askari bila kuonesha kitambulisho.

Ameendelea kusema kuwa baada ya operesheni ya kukomesha mtandao wa wahalifu kama hao na wengine kukimbilia nchi jirani, masalia wameanza kujikusanya na kutekeleza matukio ya mauaji huku askari wakilengwa.

11 August, 2016

UTAFITI: MATUMIZI MAKUBWA YA MITANDAO YA KIJAMII

  ...yanasababisha sonona (depression)

Watafiti wa University of Pittsburgh School of Medicine walifanya utafiti kuhusu madhara ya matumizi ya mitandao ya kijamii katika mood ya watumiaji.

Utafiti huo ulibaini kuwa kadri vijana wanavyotumia mitandao hiyo zaidi, ndivyo wanavyopata tatizo la sonona ambalo kitaalam linajulikana kama depression, au kukosa uchangamfu na furaha.

“Kwasababu mitandao ya kijamii imekuwa kitu kilichojiweka kwenye mawasiliano ya binadamu, ni muhimu kwa wauguzi kuongea na vijana kuhusu kutambua uwiano unaotakiwa kuwepo na kuhimiza matumizi chanya wakati wakijiondoa kwenye matumizi yenye matatizo,” alisema Brian A. Primack, M.D., Ph.D., ambaye ni mwandishi mkuu wa utafiti huo.

Utafiti huo ulihusisha watu 1,787 nchini Marekani wa kuanzia miaka 19 hadi 32. Mitandao iliyohusishwa ni pamoja na Facebook, YouTube, Twitter, Google Plus, Instagram, Snapchat, Reddit, Tumblr, Pinterest, Vine na LinkedIn.

Washiriki walitumia mitandao hiyo kwa dakika 61 na kutembelea akaunti mbalimbali za mitandao ya kijamii mara 30 kwa wiki, kiwastani. Cha kutisha kwenye utafiti huo, zaidi ya robo ya washiriki walielezewa kuwa na viashirio vya juu vya sonona.

Kulikuwepo na uhusiano mkubwa kati ya matumizi ya mitandao ya kijamii na sonona.

Watafiti hao lakini walizitaja sababu zingine zinazochangia tatizo hilo kuwa ni pamoja na umri, jinsia, rangi, uhusiano, hali ya maisha, kiwango cha elimu na kipato.

HII KALI! MARUFUKU KUPIGA PICHA WODINI

...Simu za Kamera Kuzuiwa Kuingia Wodini


Naibu Waziri wa Afya, Kigwangalla ameagiza Hospitali zote nchini kuzuia kupiga picha wodi za wagonjwa, pia kuzuia simu zenye kamera kuingizwa mawodini.

Amesema picha zinazopigwa mawodini huzusha taarifa za uongo, na picha hizo hutumika kusingizia watu!!! Ya kweli haya. 
 
MY TAKE
Hakuna sababu ya kuwa na hofu ya kupiga picha kama yanayotendeka ni wazi na dhahiri
 

MTOTO WA OBAMA ATIA FORA BAADA YA KUAJIRIWA KWENYE MGAHAWA WA DAGAA




Ni Ajabu lakini ni Kweli Binti wa kwanza wa Rais wa Marekani Baracka Obama, Sasha Obama ametia Fora baada ya kuamua kwamba Pamoja na Kwamba baba yake ni Rais na Tajiri wa Marekani lakini nayeye ajiingizie Kipato chake mwenyewe. Kwa Maamuzi yake mwenyewe wakati huu akiwa Likizo ameamua Kurudi kwenye Kazi yake ambayo alishawahi kuifanya Kimya Kimya ya kuhudumia Wateja kwenye Mgahawa Mmmoja Maarufu ujulikanao kamaNancy’s
restaurant unaopatikana huko huko Massachusetts Boston. Habari ya binti huyo imechukua Headlines na cha Kufurahisha zaidi ni kwamba Mgahawa huo ni Maarufu zaidi kwa kuuza Dagaa wa Kukaanga. 
SASHA OBAMA
Mmoja wa Wahudumu Wambea wa Mgahawa huo ametonya Vyombo vya habari kwamba Msichana huyo anaingia kazini kama kawaida na anafanya kazi mpaka saa sita mchana ila utofauti na Wafanyakazi wengine ni kwamba yeye huwa haandiki jina lake kwenye Kitabu cha mahudhurio.
Utakuwa unajiuliza kwamba sasa Obama hahofii usalama wa Binti yake? Sasa jibu ni kwamba Msichana huyo ana Walinzi ambao yuko nao Kila hatua Kibaruani kwake hapo.
HONGERA SANA KWA BINTI HUYU ALIYEAMUA KUUTHIBITISHA UKENYA WAKE Japo Kazaliwa Marekani ila ameonyesha kwamba kweli Damu ya Kenya aliyoipata kwa Baba Yake inafanya kazi…..




NITAKUSHANGAA WEWE KIJANA MWENZANGU UNAYECHAGUA KAZ

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...